ASANTENI KWAKUA MABALOZI WETU

Jana tulipata Fursa yakuwatembelea Mabalozi wetu waendesha bajaji maeneo mbali mbali nakuwashukuru pamoja nakuwatakia kheri ya Mwaka Mpya pia kuwa pongeza kuwa mabalozi wazuri wa mwaka 2023

Hongera sana Balozi wetu popote ulipo tunautambua na kuuthamini mchango wako kwetu 

#SullivanProvostforqualityEducation

 

Leave a comment